Ezr. 7:24 SUV

24 Tena twawaarifuni ya kuwa katika habari ya makuhani, na Walawi, na waimbaji, na mabawabu na Wanethini, au watumishi wa nyumba hii ya Mungu, si halali kuwatoza kodi, wala ada, wala ushuru.

Kusoma sura kamili Ezr. 7

Mtazamo Ezr. 7:24 katika mazingira