Ezr. 7:25 SUV

25 Na wewe, Ezra, kwa kadiri ya hekima ya Mungu wako iliyo mkononi mwako, waweke waamuzi na makadhi, watakaowahukumu watu wote walio ng’ambo ya Mto, yaani, wote wenye kuzijua amri za Mungu wako; ukamfundishe yeye asiyezijua.

Kusoma sura kamili Ezr. 7

Mtazamo Ezr. 7:25 katika mazingira