Ezr. 7:26 SUV

26 Na kila mtu asiyekubali kuitenda sheria ya Mungu wako, na sheria ya mfalme, na apatilizwe hukumu kwa bidii, kwamba ni kuuawa, au kwamba ni kuhamishwa, au kuondolewa mali yake, au kufungwa.

Kusoma sura kamili Ezr. 7

Mtazamo Ezr. 7:26 katika mazingira