Hes. 1:22 SUV

22 Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kuandama jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mume tangu umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;

Kusoma sura kamili Hes. 1

Mtazamo Hes. 1:22 katika mazingira