Hes. 11:33 SUV

33 Kisha hapo hiyo nyama ilipokuwa ikali kati ya meno yao, hawajaitafuna bado, hasira za BWANA ziliwaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa pigo kuu mno.

Kusoma sura kamili Hes. 11

Mtazamo Hes. 11:33 katika mazingira