Hes. 12:14 SUV

14 BWANA akamwambia Musa, Je! Kama baba yake angalimtemea mate usoni tu, hangaliona aibu muda wa siku saba? Na afungwe nje ya kambi muda wa siku saba, kisha baada ya hayo ataletwa ndani tena.

Kusoma sura kamili Hes. 12

Mtazamo Hes. 12:14 katika mazingira