Hes. 12:6 SUV

6 Kisha akawaambia,Sikizeni basi maneno yangu;Akiwapo nabii kati yenu,Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono,Nitasema naye katika ndoto.

Kusoma sura kamili Hes. 12

Mtazamo Hes. 12:6 katika mazingira