8 Kwake nitanena mdomo kwa mdomo,Maana, waziwazi wala si kwa mafumbo;Na umbo la BWANA yeye ataliona.Mbona basi ninyi hamkuogopaKumnenea mtumishi wangu, huyo Musa?
Kusoma sura kamili Hes. 12
Mtazamo Hes. 12:8 katika mazingira