10 Katika kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi.
11 Katika kabila ya Yusufu, yaani, katika kabila ya Manase, Gadi mwana wa Susi.
12 Katika kabila ya Dani, Amieli mwana wa Gemali.
13 Katika kabila ya Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli.
14 Katika kabila ya Naftali, Nabi mwana wa Wofsi.
15 Katika kabila ya Gadi, Geueli mwana wa Maki.
16 Hayo ndiyo majina ya hao watu waliotumwa na Musa waende kuipeleleza nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita jina lake Yoshua.