23 Wakafika bonde la Eshkoli, na huko wakakata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, wakalichukua kwa mti kati ya watu wawili; wakaleta makomamanga pia, na tini.
Kusoma sura kamili Hes. 13
Mtazamo Hes. 13:23 katika mazingira