28 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya huyo mtu akosaye, atakapofanya dhambi pasipo kujua, mbele za BWANA, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake; naye atasemehewa.
Kusoma sura kamili Hes. 15
Mtazamo Hes. 15:28 katika mazingira