Hes. 18:23 SUV

23 Lakini Walawi watatumika utumishi wa hema ya kukutania, nao watauchukua uovu wao; hii itakuwa amri ya milele katika vizazi vyenu vyote, na kati ya wana wa Israeli hawatakuwa na urithi.

Kusoma sura kamili Hes. 18

Mtazamo Hes. 18:23 katika mazingira