6 Nami, tazama, nimewatwaa ndugu zenu Walawi miongoni mwa wana wa Israeli; kwenu ninyi watu hao ni kipawa alichopewa BWANA, waufanye utumishi wa hema ya kukutania.
Kusoma sura kamili Hes. 18
Mtazamo Hes. 18:6 katika mazingira