Hes. 20:12 SUV

12 BWANA akamwambia Musa na Haruni, Kwa kuwa hamkuniamini mimi, ili kunistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyo, hamtawaingiza kusanyiko hili katika ile nchi niliyowapa.

Kusoma sura kamili Hes. 20

Mtazamo Hes. 20:12 katika mazingira