16 tena tulipomlilia BWANA, akatusikiza sauti yetu, akamtuma malaika, na kututoa tutoke Misri; nasi tupo hapa Kadeshi, mji wa mpakani mwako mwa mwisho;
Kusoma sura kamili Hes. 20
Mtazamo Hes. 20:16 katika mazingira