Hes. 25:14 SUV

14 Basi jina la Mwisraeli huyo aliyeuawa pamoja na yule mwanamke Mmidiani, aliitwa Zimri, mwana wa Salu, mkuu wa nyumba ya baba zake, katika kabila la Simeoni.

Kusoma sura kamili Hes. 25

Mtazamo Hes. 25:14 katika mazingira