Hes. 25:8 SUV

8 akamwandama huyo mtu wa Israeli na kuingia ndani ya hema nyuma yake, naye akawachoma wote wawili kwa fumo lake, yule mume wa Israeli na huyo mwanamke kati ya tumbo lake. Basi pigo likazuiwa kwao wana wa Israeli.

Kusoma sura kamili Hes. 25

Mtazamo Hes. 25:8 katika mazingira