Hes. 30:5 SUV

5 Lakini kama huyo babaye akimkataza siku hiyo aliyosikia; nadhiri zake ziwazo zote, wala vifungo vyake alivyoifungia nafsi yake havitathibitika; na BWANA atamsamehe, kwa kuwa babaye alimkataza.

Kusoma sura kamili Hes. 30

Mtazamo Hes. 30:5 katika mazingira