Hes. 31:28 SUV

28 kisha uwatoze hao watu wa vita waliotoka kwenda vitani sehemu kwa ajili ya BWANA; mmoja katika mia tano, katika wanadamu, na katika ng’ombe, na katika punda, na katika kondoo;

Kusoma sura kamili Hes. 31

Mtazamo Hes. 31:28 katika mazingira