Hes. 32:17 SUV

17 lakini sisi wenyewe tutakuwa tayari na silaha zetu kutangulia mbele ya wana wa Israeli, hata tutakapowafikisha mahali pao; na watoto wetu watakaa katika hiyo miji yenye maboma, kwa sababu ya wenyeji wa nchi.

Kusoma sura kamili Hes. 32

Mtazamo Hes. 32:17 katika mazingira