24 na katika kabila ya wana wa Efraimu, mkuu, Kemueli mwana wa Shiftani.
25 Na katika kabila ya wana wa Zabuloni, mkuu, Elisafani mwana wa Parnaki.
26 Na katika kabila ya wana wa Isakari, mkuu, Paltieli mwana wa Azani.
27 Na katika kabila ya wana wa Asheri, mkuu, Ahihudi mwana wa Shelomi.
28 Na katika kabila ya wana wa Naftali, mkuu, Pedaheli mwana wa Amihudi.
29 Hao ndio BWANA aliowaagiza wawagawanyie urithi wana wa Israeli katika nchi ya Kanaani.