Hes. 4:49 SUV

49 Kwa amri ya BWANA, walihesabiwa kwa mkono wa Musa, kila mtu kwa utumishi wake, na kama mzigo wake ulivyokuwa; ndivyo walivyohesabiwa na yeye, kama BWANA alivyomwagiza Musa.

Kusoma sura kamili Hes. 4

Mtazamo Hes. 4:49 katika mazingira