Hes. 6:18 SUV

18 Naye Mnadhiri atakinyoa kichwa cha kujitenga kwake, mlangoni pa hema ya kukutania, kisha atatwaa hizo nywele za kichwa cha kujitenga kwake, na kuzitia katika moto ulio chini ya dhabihu ya sadaka za amani.

Kusoma sura kamili Hes. 6

Mtazamo Hes. 6:18 katika mazingira