Hes. 9:6 SUV

6 Basi walikuwako watu waume kadha wa kadha waliokuwa na unajisi kwa ajili ya maiti wa mtu, hata wasiweze kuishika Pasaka siku hiyo; nao wakaenda mbele ya Musa na Haruni, siku hiyo hao watu wakamwambia,

Kusoma sura kamili Hes. 9

Mtazamo Hes. 9:6 katika mazingira