Hos. 4:13 SUV

13 Hutoa dhabihu juu ya vilele vya milima, na kufukiza uvumba juu ya vilima, chini ya mialoni na milibua na miela, kwa kuwa uvuli wake ni mwema; kwa sababu hiyo binti zenu huzini, na bibi arusi zenu hufanya uasherati.

Kusoma sura kamili Hos. 4

Mtazamo Hos. 4:13 katika mazingira