Hos. 4:14 SUV

14 Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wao wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia.

Kusoma sura kamili Hos. 4

Mtazamo Hos. 4:14 katika mazingira