10 Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
Kusoma sura kamili Kut. 1
Mtazamo Kut. 1:10 katika mazingira