Kut. 20:5 SUV

5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

Kusoma sura kamili Kut. 20

Mtazamo Kut. 20:5 katika mazingira