Kut. 22:1 SUV

1 Mtu akiiba ng’ombe au kondoo, na kumchinja, au kumwuza; atalipa ng’ombe watano badala ya ng’ombe mmoja, na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.

Kusoma sura kamili Kut. 22

Mtazamo Kut. 22:1 katika mazingira