Kut. 27:1 SUV

1 Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita; urefu wake utakuwa ni dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano; hiyo madhabahu itakuwa mraba; na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.

Kusoma sura kamili Kut. 27

Mtazamo Kut. 27:1 katika mazingira