2 Malaika wa BWANA akamtokea, katika mwali wa moto uliotoka katikati ya kijiti; akatazama, na kumbe! Kile kijiti kiliwaka moto, nacho kijiti hakikuteketea.
Kusoma sura kamili Kut. 3
Mtazamo Kut. 3:2 katika mazingira