Kut. 30:13 SUV

13 Nacho watakachotoa ni hiki, kila mtu apitaye kwa wale waliohesabiwa atatoa nusu shekeli kwa kuiandama shekeli ya mahali patakatifu; (shekeli ni gera ishirini;) nusu shekeli kwa sadaka ya BWANA.

Kusoma sura kamili Kut. 30

Mtazamo Kut. 30:13 katika mazingira