Kut. 30:12 SUV

12 Utakapowahesabu wana wa Israeli, kama itakavyotokea hesabu yao, ndipo watakapompa BWANA kila mtu ukombozi kwa ajili ya roho yake, hapo utakapowahesabu; ili kwamba yasiwe maradhi kati yao, hapo utakapowahesabu.

Kusoma sura kamili Kut. 30

Mtazamo Kut. 30:12 katika mazingira