Kut. 30:34 SUV

34 BWANA akamwambia Musa, Jitwalie manukato mazuri, yaani, natafi, na shekelethi, na kelbena; viungo vya manukato vizuri pamoja na ubani safi; vitu hivyo vyote na viwe vya kipimo kimoja;

Kusoma sura kamili Kut. 30

Mtazamo Kut. 30:34 katika mazingira