Kut. 33:16 SUV

16 Kwa maana itajulikanaje kuwa nimepata neema mbele zako, mimi na watu wako? Siyo kwa sababu unakwenda pamoja nasi, hata mimi na watu wako tutengwe na watu wote walio juu ya uso wa nchi?

Kusoma sura kamili Kut. 33

Mtazamo Kut. 33:16 katika mazingira