Kut. 34:24 SUV

24 Kwa kuwa mimi nitazitupa nje taifa za watu mbele yako, na kuipanua mipaka yako; wala hapana mtu ye yote atakayeitamani nchi yako, hapo utakapokwea kwenda kuhudhuria mbele za BWANA Mungu wako mara tatu kila mwaka.

Kusoma sura kamili Kut. 34

Mtazamo Kut. 34:24 katika mazingira