Kut. 34:28 SUV

28 Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.

Kusoma sura kamili Kut. 34

Mtazamo Kut. 34:28 katika mazingira