Kut. 6:14 SUV

14 Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.

Kusoma sura kamili Kut. 6

Mtazamo Kut. 6:14 katika mazingira