Mik. 6:2 SUV

2 Sikieni, enyi milima, mateto ya BWANA, na ninyi, enyi misingi ya dunia iliyo imara; kwa maana BWANA ana mateto na watu wake, naye atahojiana na Israeli.

Kusoma sura kamili Mik. 6

Mtazamo Mik. 6:2 katika mazingira