Mwa. 17:23 SUV

23 Ibrahimu akamtwaa Ishmaeli mwanawe, na wote waliozaliwa nyumbani mwake, na wote walionunuliwa kwa fedha yake, wanaume wote wa watu wa nyumba ya Ibrahimu, akawatahiri nyama ya magovi yao siku ile ile, kama Mungu alivyomwambia.

Kusoma sura kamili Mwa. 17

Mtazamo Mwa. 17:23 katika mazingira