Mwa. 2:19 SUV

19 BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.

Kusoma sura kamili Mwa. 2

Mtazamo Mwa. 2:19 katika mazingira