Mwa. 20:5 SUV

5 Je! Hakuniambia mwenyewe, Huyu ni ndugu yangu? Na mwanamke mwenyewe naye alisema, Huyu ni ndugu yangu. Kwa ukamilifu wa moyo wangu, na kwa kuwa safi mikono yangu, nimefanya hivi.

Kusoma sura kamili Mwa. 20

Mtazamo Mwa. 20:5 katika mazingira