Mwa. 21:14 SUV

14 Ibrahimu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akimtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.

Kusoma sura kamili Mwa. 21

Mtazamo Mwa. 21:14 katika mazingira