Mwa. 24:30 SUV

30 Ikawa, alipoiona ile pete, na vikuku mikononi mwa nduguye, akasikia maneno ya Rebeka nduguye, akisema, Hivyo ndivyo alivyoniambia mtu huyo, basi akamjia mtu yule, na tazama, amesimama karibu na ngamia kisimani.

Kusoma sura kamili Mwa. 24

Mtazamo Mwa. 24:30 katika mazingira