40 Akaniambia, BWANA, ambaye naenenda machoni pake, atapeleka malaika wake pamoja nawe, atafanikisha njia yako; nawe umtwalie mwanangu mke katika jamaa zangu, na wa nyumba ya babangu.
Kusoma sura kamili Mwa. 24
Mtazamo Mwa. 24:40 katika mazingira