Mwa. 31:36 SUV

36 Yakobo akakasirika, akagombana na Labani. Yakobo akajibu, akamwambia Labani, N’nini hatia yangu? Nayo ni nini dhambi yangu, hata ukanifuatia namna hii?

Kusoma sura kamili Mwa. 31

Mtazamo Mwa. 31:36 katika mazingira