Mwa. 33:1 SUV

1 Yakobo akainua macho yake, akaona, na tazama, Esau anakuja na watu mia nne pamoja naye. Akawagawanyia Lea, na Raheli, na wale vijakazi wawili, wana wao.

Kusoma sura kamili Mwa. 33

Mtazamo Mwa. 33:1 katika mazingira