10 Yakobo akasema, Sivyo; kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, iwapo nimeona uso wako kama kuona uso wa Mungu, ukapendezwa nami.
Kusoma sura kamili Mwa. 33
Mtazamo Mwa. 33:10 katika mazingira