1 Mungu akamwambia Yakobo, Ondoka, panda uende Betheli, ukakae huko; ukamfanyie Mungu madhabahu huko; yeye aliyekutokea ulipomkimbia Esau, ndugu yako.
Kusoma sura kamili Mwa. 35
Mtazamo Mwa. 35:1 katika mazingira