14 Akamwambia, Enenda, basi, ukaone kama ndugu zako hawajambo, na kundi nalo li salama, ukaniletee habari. Basi akampeleka kutoka bonde la Hebroni, akafika Shekemu.
Kusoma sura kamili Mwa. 37
Mtazamo Mwa. 37:14 katika mazingira